Misingi ya Utume wa Kikristo, Mwongozo wa Mkufunzi

/ 9 5

MISINGI YA UTUME WA KIKRISTO

2. Chanzo cha uasi wake kilikuwa ni wivu dhidi ya Mungu kama matokeo ya kiburi, Isa. 14:12-15.

3. Uzuri na utukufu wake wa ajabu ulimfanya aasi mamlaka ya Mungu, Eze. 28:12-18.

4. Uasi huu wa kiroho ndio mzizi na sababu ya aina nyingine zote za uasi miongoni mwa wanadamu leo, 1 Yoh. 5:19.

C. Anguko kama ushiriki wa wanadamu katika uasi wa enzi: kiburi, tamaa, na uchoyo (ubinafsi), Mwa. 3:1-7.

2

1. Majaribu na kutotii: Hawa na nyoka, 2 Kor. 11:2.

2. Kupoteza uhuru: kuingia kwa dhambi na utumwa wa shetani.

3. Kupotea kwa uzima na ukamilifu: mwanzo wa magonjwa na uhalisia wa kifo.

4. Mwisho wa haki: kuvunjika na kugawanyika kwa mahusiano ya kibinadamu.

D. Protoevangelium : tangazo la kwanza la Injili, Mwa. 3:15.

1. Mungu ataweka uadui kati ya uzao wa nyoka na Uzao wa mwanamke.

2. Uzao wa mwanamke utaponda kichwa cha nyoka.

3. Nyoka atauponda kisigino Uzao wa mwanamke.

Made with FlippingBook - Online catalogs