Mungu Mwana – Mwongozo wa Mkufunzi: Capstone Module 10 Swahili Mentor Guide

1 9 6 /

M U N G U M W A N A

Prophéties messianiques citées dans le Nouveau Testament (muendelezo)

Nukuu za AJ

Rejea ya AK

Kielelezo cha Kutimizwa kwa Unabii wa Kimasihi

Mwana wa Adamu ajaye, wa unabii wa Danieli, si mwingine ila Yesu wa Nazareti

20

Mt. 24:30

Dan. 7:13

21

Mt. 26:31

Zek. 13:7

Mchungaji aliyepigwa na Bwana na kondoo kutawanyika

Yesu wa Nazareti ni utimilifu wa Mwana wa Kimasihi wa unabii wa Danieli Yesu atakuja katika mawingu ya mbinguni akiwa mtawala aliyeinuliwa wa Danieli

22

Mt. 26:64

Zab. 110:1

23

Mt. 26:64

Dan. 7:3

24

Mt. 27:9-10

Zek. 11:12-13

Masihi anasalitiwa kwa vipande thelathini vya fedha

Mpakwa mafuta wa Mungu anapewa divai iliyochanganyika na nyongo

25

Mt. 27:34-35

Zab. 69:21

26

Mt. 27:35

Zab. 22:18

Askari walipigia kura mavazi ya Masihi

27

Mt. 27:43

Zab. 22:8

Masihi anafanyiwa dhihaka na kejeli juu ya msalaba

28

Mt. 27:46

Zab. 22:1

Masihi aliyeachwa na Mungu kwa ajili ya wengine

Yohana Mbatizaji ni utimilifu wa unabii kuhusu mjumbe wa Bwana Yohana Mbatizaji ni sauti iliayo nyikani kuandaa njia ya Bwana Ubutu wa kiroho wa hadhira kuhusiana na ujumbe wa Masihi

29

Marko 1:2

Mal. 3:1

30

Marko 1:3

Isa. 40:3

31

Marko 4:12

Isa. 6:9

32

Marko 7:6

Isa. 29:13

Unafiki wa hadhira katika mwitikio wao kwa Masihi

Hosana inatolewa kwa kuingia kwa Masihi kama Mfalme Yerusalemu

33

Marko 11:9

Zab. 118:25

34

Marko 12:10-11

Zab. 118:25

Jiwe walilolikataa waashi limekuwa Jiwe Kuu la pembeni

Bwana amemtawaza Bwana wa Daudi katika kiti chake cha enzi katika Sayuni Yesu ndiye Mwana wa Adamu aliyetabiriwa ambaye atarudi katika utukufu katika mawingu Yesu ataachwa na walio wake, kwa maana mchungaji atapigwa na kondoo watatawanyika. Yesu ndiye Masihi, Mwana wa Adamu katika maono ya Danieli Mwana wa Adamu, ambaye ni Yesu, atakuja kutokea katika mkono wa kuume wa Yehova. Kura zinapigwa kwa ajili ya mavazi ya Masihi wakati wa mateso yake

35

Marko 12:36

Zab. 110:1

36

Marko 13:26

Dan. 7:13

37

Marko 14:27

Zek 13:7

38

Marko 14:62

Dan. 7:13

39

Marko 14:62

Zab. 110:1

40

Marko 15:24

Zab. 22:18

Made with FlippingBook - Share PDF online