The Kingdom of God, Swahili Student Workbook
/ 1 2 1
UFALME WA MUNGU
III. Ufalme wa Mungu utaunganishwa moja kwa moja na ufufuo na hukumu inayohusishwa na kurudi kwa Yesu. Ni nini tabia ya ufufuo huo?
A. Ufufuo ni wa uhakika .
1. Unazungumziwa katika Agano la Kale na Agano Jipya moja kwa moja.
2. Nukuu za ufufuo katika Agano la Kale:
a. Isa. 26:19
b. Dan. 12:2
4
c. Zab. 49:15
d. Zab. 71:15
3. Nukuu za Agano Jipya kuhusu ufufuo:
a. Yohana 5:28-29
b. Nyaraka zimejaa nukuu nyingi kuhusu ufufuo halisi, wa kimwili wa wafu, labda nukuu inayojulikana sana ni 1 Wakorintho 15:51-52.
Made with FlippingBook - Online catalogs