The Kingdom of God, Swahili Student Workbook

/ 2 5 9

UFALME WA MUNGU

KIAMBATISHO CHA 29 Mitazamo Mitano ya Uhusiano kati ya Kristo na Utamaduni Kulingana na Christ and Culture cha H. Richard Niebuhr, New York: Harper na Row, 1951

Kristo Mbadilishaji wa Utamaduni

Kristo dhidi ya Utamaduni

Kristo na Utamaduni katika Kitendawili

Kristo juu ya Utamaduni

Kristo wa Utamaduni

Upinzani

Mvutano

Uongofu

Ushirikiano

Kukubalika

Kwa maana watu wa Mataifa wasio na sheria wafanyapo kwa tabia zao yaliyo ndani ya torati, hao wasio na sheria wamekuwa

Kila kutoa kuliko kwema, na kila kitolewacho kilicho kamili, hutoka juu,

Kwa maana katika kuweka vitu vyote chini yake hakusaza kitu kisichowekwa chini yake. Lakini sasa bado hatujaona vitu vyote kutiwa chini yake - Ebr. 2:8.

Kwa hiyo, Tokeni kati yao, Mkatengwe nao, asema Bwana, Msiguse kitu kilicho kichafu, Nami nitawakaribisha. - 2 Kor. 6:17

Mpeni Kaisari yaliyo ya Kaisari, na Mungu yaliyo ya Mungu - Mt. 22:21

hushuka kwa Baba wa mianga; kwake hakuna kubadilika, wala kivuli cha kugeuka geuka - Yakobo 1:17

sheria kwa nafsi zao wenyewe - Warumi 2:14.

(taz. 1 Pet. 2:13-17)

(taz. 1 Yohana 2:15)

(taz. Kol. 1:16-18)

(taz. Flp. 4:8)

(taz. Rum. 13:1, 5-6)

Utamaduni ni zao la akili za kibinadamu na ni sehemu ya njia iliyotolewa na Mungu ya kuigundua kweli. Ingawa utamaduni unaweza kutambua ukweli halisi, dhambi inawekea mipaka uwezo wake ambao lazima usaidiwe na ufunuo. Hutafuta kutumia utamaduni kama hatua ya kwanza kuelekea ufahamu wa Mungu na ufunuo wake.

Utamaduni ni zawadi ya Mungu ya kumsaidia mwanadamu kushinda utumwa wake kwa

Utamaduni umeathiriwa kwa kiasi kikubwa na dhambi lakini una jukumu la kutekeleza. Ni muhimu kuainisha kati ya nyanja: Utamaduni kama sheria (huzuia uovu), Ukristo kama neema (hutoa haki). Zote mbili ni sehemu muhimu ya maisha lakini haziwezi kuchanganywa au kuunganishwa.

Utamaduni umeathiriwa kwa kiasi kikubwa na dhambi lakini unaweza kukombolewa ili kuwa na nafasi nzuri katika kurejesha haki. Wakristo wanapaswa kufanya kazi ili utamaduni wao utambue ukuu wa Kristo na uweze kubadilishwa nao.

Utamaduni umeathiriwa kwa kiasi kikubwa na dhambi na daima unapingana na mapenzi ya Mungu. Kujitenga na upinzani ndio mwitikio wa kawaida wa jumuiya ya Kikristo ambayo yenyewe ni utamaduni mbadala.

uumbaji asilia na woga na kusonga

mbele katika maarifa na wema. Utamaduni wa kibinadamu ndio unaowezesha kuhifadhi kweli ambayo binadamu wamejifunza.

Mafundisho ya maadili ya Yesu

yanainua utamaduni wa mwanadamu juu kwenye kiwango kipya.

Tertullian Menno Simons

Mtakatifu Augustino John Calvin

Thomas Aquinas

Peter Abelard Imanual Kant

Martin Luther

Kanisa Katoliki la Roma

Walutheri

Waanabaptisti

Wana Mageuzi

Uprotestanti Huria

Made with FlippingBook - Online catalogs