The Kingdom of God, Swahili Student Workbook
2 6 /
UFALME WA MUNGU
1. Mfumo wa sasa wa dunia uko chini ya utendaji na mwingilio wa falme na mamlaka mbalimbali.
2. Majeshi ya roho za giza yanaathiri na kuendesha mambo ya wanadamu.
3. Angalia upinzani wa majeshi ya roho ovu dhidi ya maombi ya Danieli katika Danieli 9-10.
1
D. Msukumo wa kiroho wa kosmos : tamaa, uchoyo, na kiburi, 1 Yohana 2:15-17
1. Amri kwa wanafunzi: msiipende dunia wala mambo vilivyomo.
a. Angalia mzozo kati ya Mungu na dunia.
b. Wale wanaoipenda dunia hawana upendo wa Mungu ndani yao.
2. Muhtasari kuhusu dunia: kila kilichomo duniani (tamaa ya mwili, tamaa ya macho, na kiburi cha uzima) havitokani na Baba, bali ni vya dunia yenyewe.
3. Mfumo wa dunia unapita, pamoja na tamaa zake.
4. Athari kuu ya kwanza ya uasi katika dunia imekuwa kuzuka kwa mfumo huu wa kidunia wa tamaa, kiburi, na uchoyo.
Made with FlippingBook - Online catalogs