Theolojia Katika Picha

/ 2 5

R e p r e s e n t a n d o l a t e o l o g í a

Chati ya Zana za Masomo ya Biblia (muendelezo)

1. T umia konkodansi yako kutambua neno ambalo limetafsiriwa kama “kuhesabiwa haki” Katika msitari wa 2 na kisha andika neno hilo pamoja na namba yake kwenye strong’s katika nafasi hii hapa chini: Neno la Kiyunani _________________ namba kwenye strong’s ______________ 2. L itafute neno hili kwenye kamusi ya vine’s expository na usome neno linalotangulia kwa ajili ya neno hili. Je taarifa hii inaongeza nini kwenye ufahamu wako wa nenohilo na kifungu husika cha Maandiko? _______________________________________________________________ _______________________________________________________________ _______________________________________________________________ 3. Tumia konkodansi yako kutambua Neno lililotafsiriwa “tembea” Katika mstari wa 12 na kisha andika neno hilo na namba yake kwenye strong’s katika nafasi hii hapa chini. Neno la Kiyunani _______________ namba yake kwenye strong’s ____________ 4. Litafute neno hili katika kamusi ya Vine’s Expository na usome neno la kuingilia. K wanini unafikiri Mtume Paulo alichagua neno hili badala ya moja ya maneno mengine ya Kiyunani kwa kuonyesha neno kutembea? Je kujua ufafanuzi wa neno hili lililotumika kwa neno “tembea” Kunaongeza nini kwenye ufahamu wako wa kifungu hiki cha Maandiko? _______________________________________________________________ _______________________________________________________________ _______________________________________________________________ 5. K wa kutumia kamusi ya New Bible Dictionary , tafuta na usome andiko kuhusu“ Ibrahimu” Ni kwa njia gani hili linaongeza kina cha ufahamu wako wa kifungu cha Maandiko? _______________________________________________________________ _______________________________________________________________ _______________________________________________________________

Made with FlippingBook Digital Publishing Software