Theolojia Katika Picha

/ 2 8 1

R e p r e s e n t a n d o l a t e o l o g í a

Meza ya Bwana: Mitazamo Minne Mch. Terry G. Cornett

Uthibitisho wa asili moja

Mtazamo wa Kimageuzi

Mtazamo wa kumbukumbu

Kubadilika

Wapresbyteri na Makanisa mengine ya Kimageuzi, Kiepiskopi

Wabaptisti, Wamennonite, Wapentekoste

Vikundi

Kanisa Katoliki la Roma

Ulutheri

Mwanzilishi

Thomas Aquinas

Martin Luther

John Calvin

Ulrich Zwingli

Kristo hayumo kiuhalisia katika viasili kwa sababu mwili wa Kristo uko mbinguni. Kristo yupo kiroho na anafanya kazi katika kushiriki vifaa husika kwa njia ya

Baada ya kuwekwa wakfu na kasisi, mkate hubadilika kuwa mwili wa Kristo na divai hubadilika kuwa damu ya Kristo ili Kristo awepo katika vifaa vyenyewe. Chakula cha kiroho hutolewa kwa nafsi, ambacho huimarisha mshiriki kiroho na kumsafisha na dhambi mbaya. Dhabihu ya Kristo msalabani inakuwepo kwa upya katika kila misa.

Vifaa havibadiliki lakini Kristo yuko ndani, pamoja na, na chini ya viasili vya mkate na divai.

Kristo hayumo kabisa katika vifaa vile, si kiuhalisia wala kiroho.

Uwepo wa Kristo

Roho Mtakatifu vinapopokelewa kwa imani.

Mshiriki anatii Agizo la Kristo na kuadhimisha kifo chake ili akumbushwe faida za wokovu unaotimizwa kwa kifo cha Kristo cha kidhabihu. Upendo kwa Mungu unafanywa upya kupitia ukumbusho wa upendo wake kwetu.

Vifaa vile vinapopokelewa kwa imani, mshiriki hupokea lishe ya kiroho ambayo huimarisha nafsi, humleta karibu na uwepo wa Kristo na kupata uzoefu mpya wa neema ya Mungu.

Dhambi zinasamehewa na ahadi za agano jipya zinathibitishwa tena. Ikiwa vifaa havipokelewi kwa imani, sakramenti haina faida.

Nini Kinatokea

Yoh. 6:53-58 Mt. 26:26 1 Kor. 10:16

Mt. 26:26 1 Kor. 10:16

Yoh. 6:63; 16:7 Kol. 3:1

Luka 22:19 1 Kor. 11:24-25

Aya Muhimu

Neno Linalotumika

Sakramenti

Sakramenti

Sakramenti

Agizo

Nani Anayeongoza

Viongozi wa Kanisa (Wakleri au Walei)

Viongozi wa Kanisa (Wakleri au Walei)

Kuhani

Mtumishi Msimikwa

Made with FlippingBook Digital Publishing Software