Theolojia Katika Picha

/ 5 1 3

R e p r e s e n t a n d o l a t e o l o g í a

Utetezi wa Kibiblia wa Ufufuo wa Masihi Yesu Mch. Dkt. Don L. Davis

Sababu za Kufufuka Kwake

Andiko la Biblia

1 Ili kutimiza unabii wa Maandiko Matakatifu Zab. 16:9-10; 22:22; 118:22-24

2

Ili kuonyesha utambulisho wake halisi

Matendo 2:24; Rum. 1:1-4

2 Sam. 7:12-16; Zab. 89:20-37; Isa. 9:6-7; Luka 1:31-33; Mdo 2:25-31

3

Ili kutimiza ahadi ya Agano la Daudi

Kuwa chanzo cha uzima wa milele kwa wote wanaomwamini

Yoh 10:10-11; 11:25-26; Efe. 2:6; Kol. 3:1-4; 1 Yoh. 5:11-12

4

Kuwa chanzo cha nguvu za ufufuo kwa wengine

5

Mt. 28:18; Efe. 1:19-21; Fil. 4:13

6

Kuinuliwa kama kichwa juu ya Kanisa

Efe. 1:20-23

Ili kuonyesha kwamba tendo la Mungu kutuhesabia haki limekamilishwa

7

Rum. 4:25

Kutawala hata maadui wote wawekwe chini ya miguu yake

8

1 Kor. 15:20-28

9 Kuwa limbuko la ufufuo wa mwisho ujao

1 Kor. 15:20-23

Kuthibitisha mamlaka aliyopewa na Mungu ya kuyatwaa maisha yake tena

10

Yohana 10:18

Made with FlippingBook Digital Publishing Software