Theolojia Katika Picha

/ 5 3 7

R e p r e s e n t a n d o l a t e o l o g í a

Yesu Kristo:- Mhusika dhamira ya Biblia Mch. Dkt. Don L. Davis Imetolewa kutoka katika kitabu kilichoandikwa na Norman Geisler, A Popular Survey of the Old Testament . Grand Rapids, MI:- Baker Books, 1977, pp. 11ff

Miundo miwili ya Biblia

Miundo minne ya Biblia

Miundo minane ya Biblia

Sheria:- Msingi wa Kristo (Mwanzo-Kumbukumbu la Torati) Historia: Maandalizi ya Kristo (Yoshua-Esta) Mashairi:- Matamanio ya Kristo (Ayubu-Wimbo Uliyo Bora) Manabii:- Matarajio ya Kristo (Isaya-Malaki) Injili:- Kudhirishwa Kwa Kristo (Mathayo-Yohana) Matendo ya Mitume:- Kutangaza kwa Kristo (Matendo ya Mitume)

Aganol La Kale:- Matarajio Kimefichwa Kilicho ndani Maadili Katika kivuli Katika kawaida za kidini Katika picha Kama ilivyo nenwa Katika Unabii Kabla ya kufanyika mwili

Sheria Msingi kwa ajili ya Kristo

Manabii Kutarajiwa kwa Kristo

Agano Jipya:- Utambuzi

Injili Udhihirisho wa Kristo

Kimefunuliwa Imefafanuliwa Ukamilifu wake Katika uthabiti Katika uhalisia Katika kiwiliwili Kama ilivyotimizwa Katika historia Katika kufanyika mwili

Luka 24.27; Hib 10.7; Mat 5.17; Yohana 5.39

Nyaraka:- Ufafanuzi wa Kristo (Warumi-Yuda)

Waraka Ufafanuzi wa Kristo

Yesu Kristo, Mhusika dhamira ya Biblia

Ufunuo:- Ukamilisho katika Kristo (Ufunuo wa Yohana)

Made with FlippingBook Digital Publishing Software