Theolojia Katika Picha

Theolojia Katika Picha Orodha ya A-Z ya Vielelezo, Chati, Michoro na Makala Muhimu za TUMI

Toleo hili lina viambatisho vilivyokusanywa kutoka katika mtaala wa TUMI wa ngazi ya seminari wenye moduli 16 uitwao Mtaala wa Capstone .

Mtaala huu ni matokeo ya maelfu ya masaa ya kazi iliyofanywa na taasisi ya The Urban Ministry Institute (TUMI) na haupaswi kudurufu bila idhini ya taasisi hiyo. TUMI inatoa idhini kwa yeyote anayehitaji kutumia vitabu hivi kwa ajili ya faida ya Ufalme wa Mungu, kwa kutoa leseni za kudurufu zenye gharama nafuu. Tafadhali thibitisha kwa Mkufunzi wako ikiwa kitabu hiki kimepewa leseni ipasavyo. Kwa taarifa zaidi kuhusu TUMI na taratibu zetu za utoaji leseni, tembelea www.tumi.org na www.tumi.org/license . Historia ya matoleo ya yaliyomo katika kitabu hiki kupitia Mtaala wa Capstone : © 2005, 2011, 2013, 2015, 2019 The Urban Ministry Institute. Haki zote zimehifadhiwa. Toleo la kwanza 2005, Toleo la Pili 2011, Toleo la Tatu 2013, Toleo la Nne 2015.

© 2024 Toleo la Kiswahili, kimetafsiriwa na Samuel Gripper na Eresh Tchakubuta.

Theolojia katika Picha Orodha ya A-Z ya Vielelezo, Chati, Michoro na Makala Muhimu za TUMI © 2019 The Urban Ministry Institute . Haki zote zimahifadhiwa.

ISBN: 978-1-62932-158-5

Hairuhusiwi kunakili, kusambaza na/au kuuza vitabu hivi, au matumizi mengine yoyote pasipo idhini, isipokuwa kwa matumizi yanayo ruhusiwa kwa mujibu wa sheria ya Haki Miliki ya Mwaka 1976 au kwa idhini ya maandishi kutoka kwa mmiliki. Maombi ya idhini yatumwe kwa maandishi kwa taasisi ya:

The Urban Ministry Institute , 3701 E. 13th Street, Suite 100 Wichita, KS 67208

The Urban Ministry Institute ni huduma ya World Impact, Inc.

Nukuu zote za Maandiko, isipokuwa kama imeonyeshwa vinginevyo, zimechukuliwa kutoka katika SWAHILI BIBLE UV050(MCR) series® Haki Miliki © 1997, iliyochapishwa na The Bible Society of Tanzania . Imetumiwa kwa ruhusa. Haki zote za kimataifa zimehifadhiwa.

Made with FlippingBook Digital Publishing Software