Uongofu na Wito, Swahili Module 1 Mwongozo wa Mkufunzi
/ 3 3
U O N G O F U & W I T O
a. Yoh. 17:22
Ikichukuliwa katika ujumla wake, Biblia inatofautiana katika ujumbe na kusudi lake na kitabu kingine chochote ulimwenguni. Inasimama juu kabisa katika kuakisi na fursa [yake] ya wokovu, tabia kuu na kazi ya Yesu Kristo kama Mwokozi wa pekee, na inatoa kwa undani utukufu usio na kikomo ambao ni wa Mungu mwenyewe. kwake nafasi ya [mwanadamu] kiumbe na kufunua mpango ambao kwa huo [wanadamu] wote katika kutokamilika [kwao] wote wanaweza kupatanishwa katika ushirika wa milele na Mungu wa milele. ~ Lewis Sperry Chafer. Major Bible Themes . Grand Rapids: Zondervan, 1974. uk. 29. Ni kitabu kimoja kinachomfunua Muumba kwa
b. Kol. 3:4
B. Tunapojinyenyekeza chini ya Neno la Mungu linaloumba, tunapata nguvu na mwelekeo ili kutimiza kusudi hili la kumheshimu na kumtukuza.
1. Linafunua nia na matamanio yetu ya ndani, Ebr. 4:12.
1
2. Linaiweka mioyo yetu inayoyumba-yumba katika mstari sanjari na ukuu wa kusudi la milele la Mungu.
a. Maandiko kama furaha na shangwe ya mioyo yetu, Yer. 15:16.
b. Neno la Mungu huleta mguso mkubwa ndani kabisa ya mioyo yetu tunapojisalimisha chini ya nguvu zake, Yer. 20:9.
3. Linatugeuza kwa kufanya upya nia zetu kuyaelekea mapenzi kamili ya Mungu, Rum. 12:1-2.
Hitimisho
» Neno la Mungu limebeba uzima wa Mungu mwenyewe na ni njia ambayo kwayo Roho Mtakatifu anaumba maisha mapya ndani ya wale wanaoamini. » Wanafunzi wa kweli wa Yesu Kristo hukaa katika Neno hili lililopandikizwa ndani yao. » Roho Mtakatifu anatufundisha kwamba kusudi kuu la ulimwengu ulioumbwa ni kumtukuza Mungu Mwenyezi. » Maandiko, Neno linaloumba, hutuwezesha kumtukuza Mungu kwa njia ya Roho Mtakatifu tunapoishi chini ya utawala wa Mungu.
Made with FlippingBook flipbook maker