Mtaala wa Cornerstone, Kitabu cha Mwanafunzi

SOMO LA 1 | UFALME WA MUNGU : KUZ I ND I L IWA KWA UTAWALA WA MUNGU / 193

c. Petro, Luka 24:34

d. Wanafunzi waliokuwa njiani kuelekea Emau, Mk 16:12-13

e. Wale kumi pamoja bila Tomaso, Yohana 20:19-24

f. Wanafunzi kumi na mmoja wiki moja baada ya ufufuo, Yohana 20:26-29

g. Wanafunzi saba kando ya Bahari ya Galilaya, Yoh 21:1-23

1

h. Wale mia tano, 1 Kor. 15:6

T H E O L O J I A N A M A A D I L I

i. Yakobo, ndugu yake Bwana, 1 Kor. 15:7

j. Wanafunzi kumi na mmoja kwenye mlima wa Galilaya, Mt. 28:16-20

k. Wanafunzi wakati wa kupaa kwake, Lk 24:44-53

l. Stefano kabla ya kuuawa kwake, Mdo 7:55-56

m. Paulo akiwa njiani kuelekea Dameski, Mdo 9:3-6

n. Paulo huko Uarabuni, Mdo 20:24

o. Paulo hekaluni, Mdo 22:17-21

p. Paulo gerezani huko Kaisaria, Mdo 23:11

Made with FlippingBook Digital Proposal Maker