Mtaala wa Cornerstone, Kitabu cha Mwanafunzi
SOMO LA 1 | UFALME WA MUNGU : KUZ I ND I L IWA KWA UTAWALA WA MUNGU / 193
c. Petro, Luka 24:34
d. Wanafunzi waliokuwa njiani kuelekea Emau, Mk 16:12-13
e. Wale kumi pamoja bila Tomaso, Yohana 20:19-24
f. Wanafunzi kumi na mmoja wiki moja baada ya ufufuo, Yohana 20:26-29
g. Wanafunzi saba kando ya Bahari ya Galilaya, Yoh 21:1-23
1
h. Wale mia tano, 1 Kor. 15:6
T H E O L O J I A N A M A A D I L I
i. Yakobo, ndugu yake Bwana, 1 Kor. 15:7
j. Wanafunzi kumi na mmoja kwenye mlima wa Galilaya, Mt. 28:16-20
k. Wanafunzi wakati wa kupaa kwake, Lk 24:44-53
l. Stefano kabla ya kuuawa kwake, Mdo 7:55-56
m. Paulo akiwa njiani kuelekea Dameski, Mdo 9:3-6
n. Paulo huko Uarabuni, Mdo 20:24
o. Paulo hekaluni, Mdo 22:17-21
p. Paulo gerezani huko Kaisaria, Mdo 23:11
Made with FlippingBook Digital Proposal Maker