Mtaala wa Cornerstone, Kitabu cha Mwanafunzi

SOMO LA 3 | MUNGU MWANA : YE SU, MAS I H I NA BWANA WA WOT E – AL I KUFA / 235

a. Mwana-Kondoo wa Pasaka wa simulizi ya Kutoka (Kut. 12) ambapo maisha ya dhabihu isiyo na hatia yanafanyika mbadala (mahali pa, badala ya) wa maisha mengine, taz. Kut. 12:11-13.

b. Dhabihu ya Isaka, ambapo badala ya Isaka kondoo dume alifayika mbadala wa Isaka (Mwa. 22:13).

3. Kwa njia ya kifo chake, Yesu anakuwa Mwana-Kondoo wetu wa Pasaka, ambaye mwili wake unabeba na kuchukua adhabu kwa sababu ya uasi, uovu na makossa yetu, ( Christus Victum : Kristo, Mwathirika kwa ajili yetu).

a. 1 Wakorintho 5:7

b. 1 Petro 1:19-20

c. Ufunuo 5:12

3

D. Yesu alikufa ili kumharibu shetani na kuharibu kazi yake .

Mungu alikuwa ametabiri kwamba uzao huu utatoka kwa mwanamke, na kwamba angekanyaga kichwa cha shetani. ~ Cyprian (c. 250, W), 5.553. Ibid. uk. 594.

T H E O L O J I A N A M A A D I L I

1. Ushahidi wa kibiblia

a. Zaburi 68:18

b. Mathayo 12:29

c. Yohana 12:31-33

d. Warumi 14:7-9

e. Wakolosai 2:15

Made with FlippingBook Digital Proposal Maker