Mungu Baba, Swahili Module 6 Student Workbook

6 /

M U N G U B A B A

Hatimaye, katika somo la nne tunaelekeza mawazo yetu kwa Mungu kama Baba: Wema wa Mungu . Hapa tutautambua wema wa ajabu wa Mungu unaoonyeshwa katika sifa zake za usafi wa kiadili, ukamilifu wake usio na waha, na pendo lake lisilo na mipaka. Na tutahitimisha moduli yetu kwa kuangalia wema na ukali wa Mungu, tukichunguza uhusiano baina ya wema na ukali wa Mungu, upendo na haki yake. Hakika, Mungu wetu Baba Mwenyezi ndiye mmoja, wa kweli, na Mungu wa mbinguni mwenye utukufu. Kumjua kikamilifu kutatusaidia kumwakilisha kwa heshima kama watumishi wake. Mungu akubariki unapochunguza utajiri wa Maandiko usioelezeka kumhusu Mungu wetu mkuu.

- Mch. Dkt. Don L. Davis

Made with FlippingBook - Online catalogs