Mungu Mwana – Mwongozo wa Mkufunzi: Capstone Module 10 Swahili Mentor Guide

/ 3 1

M U N G U M W A N A

b. Wakolosai 1:15-17

II. Kristo kama Neno Aliyekuwepo ( Logos )

A. Logos Aliyekuwepo Kabla: Mungu alidhihirishwa katika mwili. 1 Timotheo 3:16 - Na bila shaka siri ya utauwa ni kuu. Mungu alidhihirishwa katika mwili, Akajulika kuwa na haki katika roho, Akaonekana na malaika, Akahubiriwa katikamataifa, Akaaminiwa katika ulimwengu, Akachukuliwa juu katika utukufu. Isaya 7:14 - Kwa hiyo Bwana mwenyewe atawapa ishara. Tazama, bikira atachukua mimba, atazaa mtoto mwanamume, naye atamwita jina lake Imanueli.

Kwa maana Kristo ni Mfalme, Kuhani, Mungu, Bwana, Malaika, na Mwanadamu. ~ Justin Martyr (c. 160, E) 1.211. Ibid. uk. 94.

1

1. Anaitwa Mungu.

a. Waebrania 1:8

b. Yohana 1:14

c. Yohana 1:18

d. Yohana 20:28

2. Yesu anahusishwa na Majina ya kiungu.

a. Bwana (1) Matendo 2:20-21 na Rum. 10:13 na Yoeli 2:31-32 (2) 1 Petro 3:15 pamoja na Isa. 8:13

Made with FlippingBook - Share PDF online