The Kingdom of God, Swahili Mentor Guide
/ 3 1
UFALME WA MUNGU
a. Ibilisi ndiye baba (chanzo) wa uwongo wote.
b. Udanganyifu ndio kiini cha shughuli za kishetani.
c. Dini na falsafa zote za uwongo hutokana na utendaji wa kipepo na wa kishetani.
D. Kakos ni “mshitaki wa ndugu”: kazi ya Shetani kama adui wa watu wa Mungu.
1
1. Anatafuta kuwashawishi Wakristo moja kwa moja, lakini anaweza kupingwa kwa ufanisi.
a. Kwa damu ya Mwana-Kondoo, Ufu 12:9-11
b. Kwa silaha za Mungu, Efe. 6:10-18
c. Kwa imani katika Neno la Mungu (yaani ngao ya imani), Efe. 6:16-17
2. Kulinganisha nguvu na ushawishi wa shetani juu ya waliopotea na waliookolewa
a. Kuwaonea na kuwakatisha tamaa waliookoka,
b. Hana uwezo wa kukaa ndani ya waliookoka na kuwashinda, 1 Yoh 2:1-2.
3. Kazi ya shetani ya mashtaka, Ufu. 12:9-11.
Made with FlippingBook Learn more on our blog