The Kingdom of God, Swahili Student Workbook

1 8 /

UFALME WA MUNGU

• Dhambi katika ulimwengu hutokea kwa njia hii ya kuasi ukuu wa Mungu na utawala wake. • Kusudi la Mungu ni kurejesha mbingu na nchi chini ya utawala wake, na kuumba upya ulimwengu ambamo jina lake litatukuzwa, na haki na amani yake vitatawala milele.

I. Mungu Mwenyezi, Mungu wa Utatu, Ambaye Jina Lake ni YHWH (Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu), ni Bwana wa Wote.

Muhtasari wa Sehemu ya 1 ya Video

1

A. Mungu anajitegemea mwenyewe, ana uhai ndani yake mwenyewe, na anapata uzima wake kutoka katika nafsi yake mwenyewe.

1. Kutoka 3:14

2. Yohana 5:26

3. Matendo 17:25

B. Bwana Mungu ndiye Muumba na Mmiliki wa vitu vyote.

1. Ex nihilo

2. Mwanzo 1:1

3. Yeremia 10:10-13

4. Hakika Mungu wa Utatu ndiye Bwana; Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu, ambaye anatawala kama Mfalme, na ameumba vitu vyote kwa utukufu wake.

Made with FlippingBook - Online catalogs