The Kingdom of God, Swahili Student Workbook

2 2 /

UFALME WA MUNGU

b. Waliishi chini ya baraka na utunzaji wa Mungu.

c. Wakapewa mamlaka juu ya uumbaji, wakiwapa majina viumbe.

d. Walitembea katika ushirika na Mungu katika mazingira makamilifu yasiyo na madhara ya dhambi.

e. Wakiwa wameumbwa bila hatia, waliumbwa kwa mfano wa Mungu, wakiwa na utu kamili, wenye uwezo wa kufanya maamuzi ya kiadili na kufuata miongozo ya Mungu.

1

B. Tukio la Bustani katika Mwanzo 3

1. Angalia shetani: anaelezewaje?

2. Mazungumzo ya nyoka na Hawa, mama wa wote walio hai, kuhusu mti wa uzima

a. Shauku ya nyoka kupinga utawala wa Mungu, Mwa. 3:4-5

b. Mwitikio wa kusikitisha wa mwanamke na mwanamume, Mwanzo 3:6-7

3. Kiini cha udanganyifu wa nyoka: angalia ulinganifu na 1 Yohana 2:16.

a. Aliona wafaa kwa chakula – tamaa ya mwili

Made with FlippingBook - Online catalogs