The Kingdom of God, Swahili Student Workbook
/ 2 1
UFALME WA MUNGU
b. Tabia za uasi
(1) Kujitosheleza (2) Kujitegemea nje ya Mungu
(3) U-mimi (4) Ubinafsi
c. Kiburi cha Shetani ni mwanzo wa uasi katika ulimwengu, na sababu kuu ya dhambi zote na ukosefu wa haki.
1
C. Vita mbinguni: Dhambi ya Shetani na mlolongo wa uasi
1. Kuanguka kwa idadi kubwa ya malaika (yaani mapepo), Ufu. 12
2. Jaribu la watu wawili wa kwanza katika bustani
III. Utawala wa Mungu ulipingwa kupitia kutotii kwa Adamu na Hawa: Anguko, Mwa. 3.
A. Anguko la wanadamu halielezeki.
1. Walifanywa kwa ukamilifu na kwa namna ya ajabu kuwa hawana hatia, na hivyo kuweza kudanganywa.
2. Hali ya wanadamu kabla ya Anguko
a. Waliishi kwa muda usiojulikana katika ushirika na Mungu.
Made with FlippingBook - Online catalogs