The Kingdom of God, Swahili Student Workbook

2 0 /

UFALME WA MUNGU

1. Kiumbe aliyeumbwa, taz. Kol. 1:16

2. Kiumbe binafsi (angalia asili yake katika majaribu ya Yesu, taz. Luka 4:1-13)

B. Kanuni kuu ya uasi wa Shetani na utendaji wa kishetani unaotajwa katika Biblia: upinzani dhidi ya mapenzi ya Mungu kupitia kiburi, kujiinua, na machafuko, Isa. 14:12-17

1

1. Nitapanda mpaka mbinguni.

2. Nitakiinua kiti changu juu kuliko nyota za Mungu.

3. Nitaketi juu ya mlima wa mkutano, pande za mwisho za kaskazini.

4. Nitapanda juu kupita vimo vya mawingu.

5. Nitafanana na yeye Aliye juu.

6. Hatima ya shetani: mst. 15-17

7. Nia kuu ya utendaji wa kishetani: “Nitakuwa kama Aliye Juu.”

a. Mwanzo 3: kishawishi cha kukubali falsafa hii

Made with FlippingBook - Online catalogs