The Kingdom of God, Swahili Student Workbook

/ 2 9

UFALME WA MUNGU

b. Kutengwa na kukatiliwa mbali na chanzo cha uzima.

3. Hitaji la ukombozi: Damu iliyomwagika ya Yesu Kristo (Yohana 14:6).

III. Matokeo ya tatu na mabaya zaidi ya Anguko, Kakos : Kuachiliwa kwa Ibilisi na jeshi lake la mapepo katika dunia.

1

A. Kweli za utangulizi kuhusu yule Mwovu

1. Nguvu binafsi za shetani haziwezi kukadiriwa.

a. Ana nguvu za mauti, Ebr. 2:14.

b. Ana nguvu za magonjwa, kama inavyoonyeshwa katika kisa cha Ayubu, Ayubu 2:7.

c. Uwezo wake wa kupambana na watu wa Mungu, kama vile kumpepeta Petro kama ngano, Luka 22:31.

2. Ibilisi anasaidiwa na mapepo wanaofanya mapenzi yake na kumtumikia.

a. Yeye hana uwezo wala sifa ya kuwa kila mahali, si muweza wa yote, wala si mjuzi wa yote.

b. Kupitia wajumbe wake anaweza kugusa kila sehemu ya dunia.

Made with FlippingBook - Online catalogs