The Kingdom of God, Swahili Student Workbook

3 0 /

UFALME WA MUNGU

B. Kakos ni “mkufuru dhidi ya Mungu”: Shetani anafanya kazi kama mhusika wa ibada ya sanamu na uchafu.

1. Tamaa mbaya ya kujifanya kama Aliye Juu

2. Isaya 14:12-14

3. Tamaa za Shetani: nia ya kupewa utukufu na heshima inafaa kwa Mungu peke yake.

1

4. Kazi ya shetani kimsingi ni kukufuru.

a. Anautafuta utukufu wa Mungu kwa ajili yake mwenyewe.

b. Anaitafuta heshima anayostahili Mungu pekee.

5. Je, shauku hii ya ukuu juu ya Mungu inafanyaje kazi?

C. Kakos ni “mdanganyaji wa ulimwengu”: Shetani anafanya kazi kama roho yenye kudanganya kati ya mataifa.

1. Maneno ya Paulo katika 2 Wakorintho 4:3-4.

2. Maneno ya Yesu katika Yohana 8:44.

3. Athari ya uwezo wa shetani kusema uwongo:

Made with FlippingBook - Online catalogs