The Kingdom of God, Swahili Student Workbook

/ 4 9

UFALME WA MUNGU

III. Utawala wa Mungu umezinduliwa kupitia watu wake Israeli, ambao Mungu aliwachagua Kuwa kichwa cha mataifa, na ambao kutoka kwao Masihi angetoka.

A. Israeli ilichaguliwa kuwa ufalme wa makuhani wa kifalme ili kudhihirisha utukufu wa Mungu.

1. Kut. 19:3-6

2. Israeli ilichaguliwa kuwa chombo ambacho Mungu angekitumia kujitambulisha kwa mataifa.

2

B. Katika familia za Yuda katika Israeli, Mungu anapanua ahadi ya agano kwa Mfalme Daudi, ambaye ukoo wake unakuwa ukoo mteule ambao kutokea huo Mzao wa Kimasihi wa Mungu angekuja, 2 Sam. 7:12-16.

1. Sasa tunaweza kufuatilia historia.

a. Proto-evangelium , Mwa. 3:15,

b. Agano na Ibrahimu, Mwa. 12:3,

c. Utambulisho wa Yuda kama kabila ambalo Masihi angetokea hatimaye, Mwa. 49:8-10,

d. Agano na ukoo wa Daudi, 2 Sam. 7:12-17,

2. Uthibitisho kwa Daudi kama familia ambayo kwayo Masihi mwenyewe angekuja.

Made with FlippingBook - Online catalogs