Theology of the Church, Swahili Mentor Guide

/ 2 3

THEOLOJIA YA KANISA

b. Kanisa la Mungu halihusiani kwa misingi ya utaifa, bali kwa msingi wa agano jipya lenye msingi wake katika imani ndani ya Kristo, lililotiwa muhuri na Roho Mtakatifu na ambalo Roho anakaa ndani yake, 2 Kor. 3:3-18.

2. Ahadi walizopewa waisraeli sasa limepewa Kanisa.

a. 2 Kor. 6:16-18

1

b. Kutoka 29:45

c. Mambo ya Walawi 26:12

3. Ingawa Kanisa limepewa nafasi maalum, Israeli haijaachwa wala uteuzi wake haujafutwa.

a. Kama Zakaria alivyotangaza kutimizwa kwa agano katika Kristo, Luka 1:67-79, ndivyo Paulo anavyosisitiza kwamba Neno la Mungu bado linasimama, Rom. 9:6.

b. Mungu Mwenyezi hajawakataa watu wake, Rumi. 11:1.

c. Israeli, ambayo imeitwa na Mungu, itaokolewa kwa kuwa “karama na wito wa Mungu haviwezi kubatilishwa,” Rumi. 11:25-26, 29.

d. Neema ya Mungu ni msingi wenye uhakika kwamba Israeli itaokolewa, Rumi. 9:27-29; Isa. 1:24-26.

Made with FlippingBook - Share PDF online