Theology of the Church, Swahili Mentor Guide
4 /
THEOLOJIA YA KANISA
Mchungaji Terry Cornett (B.S., M. A., M.A.R.) ni Mkuu wa Taaluma wa Heshima wa The Urban Ministry Institute huko Wichita, Kansas. Ana digrii kutoka Chuo Kikuu cha Texas huko Austin, Chuo cha Uzamivu cha Wheaton, na Chuo cha Theolojia ya C. P. Haggard katika Chuo Kikuu cha Azusa Pacific. Terry alihudumu kwa miaka 23 kama mmishenari wa mjini chini ya World Impact kabla ya kustaafu mwaka wa 2005. Wakati huo alihudumu Omaha, Los Angeles, na Wichita ambako alihusika katika huduma za upandaji makanisa, elimu, na mafunzo ya uongozi.
Made with FlippingBook - Share PDF online