Theology of the Church, Swahili Student Workbook

2 6 /

THEOLOJIA YA KANISA

I. Maana ya Wokovu

Muhtasari wa Sehemu ya 2 ya Video

A. Neno la Kiyunani linalotafsiriwa kama wokovu katika Agano Jipya ni soteria . Linamaanisha kuokoa, kukomboa, au kumfanya mtu kuwa salama.

1. Rum. 1:16

2. 1 Thes. 5:9

1

3. 1 Pet. 1:9

B. Tafsiri ya Wokovu: Kwa mimi kama mtu binafsi, kuokolewa kunamaanisha kwamba: Kupitia kuunganishwa na Kristo, nimeokolewa kutoka katika upotevu na kutengwa na Mungu kulikosababishwa na dhambi, na hivyo kujiunga na “watu wa Mungu” wanaorithi Ufalme aliouahidi.

II. Wokovu wa kibiblia unamaanisha kuokolewa kutoka katika upotevu/kutengwa kulikosababishwa na dhambi.

A. Dhambi imemtenga mwanadamu na Mungu.

1. Mwa. 3:8

2. Isa. 59:2

3. Kol. 1:21

Made with FlippingBook flipbook maker