Theology of the Church, Swahili Student Workbook

3 0 /

THEOLOJIA YA KANISA

D. Umoja na Kristo una kipengele cha ukombozi: Kwa sababu tumeunganishwa na mshindi aliyemshinda shetani, hatuwezi tena kushindwa na yule muovu. Kristo anatuweka huru kutoka katika utumwa wa maovu.

1. Yoh. 8:34-36

2. Luka 11:20-22

1

3. Kol. 2:15

4. Yak. 4:7

IV. Wokovu unamaanisha kwamba tumeunganishwa na “Watu wa Mungu” ambao wanarithi Ufalme aliowaahidia.

Kwa maelezo zaidi kuhusu jambo hili muhimu tazama kiambatisho chenye kichwa “Wokovu kama Kujiunga na Watu wa Mungu.”

A. Kwa sababu Kristo ni Mwana wa Mungu, umoja wetu naye unatuunganisha na familia ya Mungu.

1. Efe. 1:5.

2. Ebr. 2:11-13

3. Gal. 4:6

B. Baadhi ya vitu ambavyo Mungu amewaahidia watu wake ni Pamoja na:

1. Ufalme usioweza kutikiswa.

Made with FlippingBook flipbook maker