Theology of the Church, Swahili Student Workbook

/ 3 1

THEOLOJIA YA KANISA

a. Luka 12:32

b. Ebr. 12:27

2. Mbingu mpya na nchi mpya isiyo na uovu wala maumivu.

a. 2 Pet. 3:13

1

b. Ufu. 21:1-5

3. Mwili mpya usioharibika na utakaoishi milele.

a. Luka 18:29-30

b. 1 Kor. 15:50-57

4. Haki ya kukaa katika uwepo wa Mungu katika Yerusalemu Mpya.

a. Ufu. 21:2-3

b. Ufu. 22:3-4

5. Haki ya kutawala pamoja na Mungu katika utawala mpya.

a. 2 Tim. 2:12

Made with FlippingBook flipbook maker