Theology of the Church, Swahili Student Workbook
/ 3 1
THEOLOJIA YA KANISA
a. Luka 12:32
b. Ebr. 12:27
2. Mbingu mpya na nchi mpya isiyo na uovu wala maumivu.
a. 2 Pet. 3:13
1
b. Ufu. 21:1-5
3. Mwili mpya usioharibika na utakaoishi milele.
a. Luka 18:29-30
b. 1 Kor. 15:50-57
4. Haki ya kukaa katika uwepo wa Mungu katika Yerusalemu Mpya.
a. Ufu. 21:2-3
b. Ufu. 22:3-4
5. Haki ya kutawala pamoja na Mungu katika utawala mpya.
a. 2 Tim. 2:12
Made with FlippingBook flipbook maker