Theology of the Church, Swahili Student Workbook

6 4 /

THEOLOJIA YA KANISA

2. Ufu. 4:8-9

3. Ufu. 15:3-4

B. Tunamwabudu Mungu kwa sababu Yeye hana kikomo katika uzuri .

1. Zab. 29:1-2

2. Zab. 96:6-8

2

3. Zab. 113:3-6

C. Tunamtukuza Mungu katika ibada kwa sababu ya utukufu wake usio na kifani .

1. Kut. 15:11

2. Zab. 57:11

3. Zab. 99:1-3

4. Zab. 97:9

D. Tunamwabudu Mungu kwa sababu ya tabia kuu ya matendo yake .

1. Kanisa linastaajabia kazi ya Mungu katika uumbaji wake, Zab. 104:1-5.

Made with FlippingBook flipbook maker