Theology of the Church, Swahili Student Workbook

/ 6 7

THEOLOJIA YA KANISA

2. Tunapaswa kumwabudu Mungu katika nyimbo zetu , Efe. 5:18-19.

3. Tunapaswa kumwabudu Mungu kwa kupiga vyombo vya muziki kwa ustadi , Zab. 33:2-3.

4. Tunamwabudu Mungu tunapomshukuru , Zab. 100:3-4.

5. Tunamwabudu Mungu tunapompigia kelele za sifa , Zab. 66:1-2.

6. Tunamwabudu Mungu tunapokuja mbele zake kwa ukimya na kutafakari .

2

a. Zab. 46:10

b. Hab. 2:20

7. Mungu anatamani kusifiwa kwa uhuru, kwa wazi, na kwa ubunifu, katika njia ya vitendo kamili na huru vya mwili .

a. Kwa kupiga makofi yetu , Zab. 47:1-2

b. Kwa kuinua mikono yetu juu , Zab. 28:2

c. Kwa kucheza mbele za Bwana , Zab. 150:4

d. Kwa kuinama na kumsujudia , Zab. 5:7

Made with FlippingBook flipbook maker