Theolojia Katika Picha

1 1 8 /

R e p r e s e n t a n d o l a t e o l o g í a

Kubainisha Viongozi na Wajumbe wa Timu ya Kupanda Makanisa Mch. Dkt. Don L. Davis

MJ - Mkurugenzi wa Jiji KT - Kiongozi wa Timu KTN - Kiongozi wa Timu Nyingi

Mjumbe wa Timu

Kiongozi wa Timu

Kiongozi wa Timu Nyingi

Mjumbe wa timu ya upandaji makanisa yenye tamaduni mchanganyiko

Kiongozi wa timu ya kupanda makanisa yenye tamaduni mchanganyiko

Mwezeshaji na mratibu wa timu nyingi

Ufafanuzi

Anaweza kuwa mfanyakazi wa World Impact au mpanda makanisa mwenye uzoefu Kutoa ushauri, nyenzo na usaidizi kwa timu zote katika eneo husika Kazi za kozi ya TUMI, ushauri na mafunzo ya kikanda, na mchango maalum wa kitaalamu Mapitio ya mara kwa mara na tathmini ya kina ya huduma mwishoni mwa muda wa utendaji wa wa Timu ya Kupanda Makanisa (TKM). Ufikiwaji wa maeneo ya kazi ya Timu za Kupanda Makanisa, ufikiwaji wa viongozi wa timu kwa ajili ya mafunzo na huduma za usaidizi. Kusaidia timu katika kipindi cha mkataba wake wa kazi, na kuamua mwishoni ikiwa kanisa lililopandwa linahitaji muda na juhudi zaidi. Makamu Mkuu wa Kanda na Mkurugenzi wa Jiji

Uhusiano na World Impact

Anaweza kuwa mfanyakazi mwajiriwa au wa kujitolea

Anaweza kuwa mfanyakazi mwajiriwa au wa kujitolea

Kutumia vipawa ili kuimarisha huduma ya timu inapopanda kanisa lenye uhai

Kuwezesha utendaji kazi wa timu

Wajibu

Mafunzo ya awali na mchango endelevu katika timu

Mtaala wa mafunzo maalum, ushauri wa kibinafsi na TUMI

Mafunzo

Kuwajibika kwa Nani?

Mkurugenzi wa Jiji (msaada kutoka kwa KTN)

Kiongozi wa Timu

Anahusishwa na timu ya kupanda makanisa kwa muda maalum kama mshiriki mkuu au msaidizi

Ahadi za Muda

Katika muda wote wa kupanda kanisa

Wajumbe wa timu na viongozi, “zana” za TKM (mgao wa awali wa rasilimali)

Wajumbe wa Timu, bajeti ya huduma, upatikanaji wa KTN na MJ

Rasilimali

Kufuata hatua muhimu za kuinjilisha, kufuasa na kupanda kanisa – anaripoti kwa kiongozi wa timu

Kuongoza timu katika shughuli zake inapotaka kuanzisha kanisa – anaripoti kwa MJ na KTN

Mamlaka

Na MJ na KT kwa wakati maalum na jukumu maalum

Na MJ kwa muda wa kupanda kanisa

Na Makamu Mkuu wa Kanda na MJ kama watakavyoona inafaa

Mgao

Wajumbe wa msingi, wajumbe wasaidizi, na/ au watu wanaojitolea

Mtu binafsi aliyechaguliwa na Makamu Mkuu wa Kanda na MJ.

Mtu binafsi au viongozi wenza (wafanya kazi wanafunzi)

Muundo

Made with FlippingBook Digital Publishing Software