Theolojia Katika Picha

1 2 /

R e p r e s e n t a n d o l a t e o l o g í a

Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu wana Sifa na Kazi za Kiungu Zinazofanana Maandiko Yanayounga Mkono Hilo Imechukuliwa kutoka kwa Edward Henry Bickersteth, The Trinity . Grand Rapids: Kregel Publications, 1957. Rpt. 1980.

Mungu Mwana

Mungu Roho Mtakatifu

Sifa ya Mungu

Mungu Baba

Isa. 44:6; Rum. 16:26

Yohana 8:58; Ufu. 1:17-18

Mungu ni wa milele (Kum. 33:27)

Ebr. 9:14

Mwa. 1:2; Zab. 33:6; 104:30; Ayu 33:4; Yoh. 7:38-39; Rum. 8:11

Mungu Aliumba Vitu Vyote (Ufu. 4:11) na Ndiye Chanzo cha Uhai (Kum. 30:20)

Zab. 36:9; 100:3; 1 Kor. 8:6

Yohana 1:3, 4; Kol. 1:16

Isa. 46:9-10; Mt. 11:27; Ebr. 4:13

Isa. 40:13-14; 1 Kor. 2:10; Yohana 16:15

Mungu Haeleweki Kibinadamu (1 Tim. 6:16) na Anajua Yote (Yer. 16:17)

Mt. 11:27; Yohana 21:17

Mt. 18:20; 28:20

Mungu yupo Kila Mahali (Yer. 23:24)

Mdo 17:27-28

Zab. 139:7-10

Zak. 4:6; Rum. 15:19; 1 Kor. 12:11

Mungu ni Mwenye Nguvu Zote (2 Nya. 20:6) na Mwenye Enzi, Hutenda Jinsi Apendavyo (Ayu. 42:2)

Luka 1:37; Efe. 1:11

Yohana 14:14; Mt. 11:27

Zab. 34:8; Yohana 7:28; 17:11, 25

Yohana 14:6; 10:11; Mdo 3:14

1 Yohana 5:6; Yohana 14:26; Zab. 143:10

Mungu ni wa Kweli, Mtakatifu, Mwenye Haki, na Mwema (Zab. 119)

Mungu ndiye Chanzo cha Nguvu kwa Watu Wake (Kut. 15:2)

Zab. 18:32

Fil. 4:13

Efe. 3:16

Ni Mungu Peke Yake Anayesamehe na Kutusafisha Dhambi Zetu (Zab. 51:7; 130:3-4)

1 Kor. 6:11; Ebr. 9:14

Kut. 34:6-7

Marko 2:7-11

Made with FlippingBook Digital Publishing Software