Theolojia Katika Picha

/ 1 6 5

R e p r e s e n t a n d o l a t e o l o g í a

Kutoka Kwenye Ujinga Mpaka Ushuhuda Unaoaminika Mch. Dkt. Don L. Davis

Ushuhuda - Uwezo wa kutoa ushuhuda na kufundisha

2 Tim. 2.2 Mt. 28.18-20 1 Yohana 1.1-4 Mit. 20.6 2 Kor. 5.18-21

Na mambo yale uliyoyasikia kwangu mbele ya mashahidi wengi, hayo uwakabidhi watu waaminifu watakaofaa kuwafindisha na wengine. ~ 2 Tim. 2.2

8

Mfumo wa maisha- Utendaji wa kudumu wa kufanya vyema na matendo ya kila siku yanayolingana na imani

7

Naye Yesu akazidi kuendelea katika hekima na kimo, akimpendeza Mungu na wanadamu. ~ Luka 2.52

Ebr. 5.11-6.2 Efe. 4.11-16 2 Pet. 3.18 1 Tim. 4.7-10

Udhihirisho - kuonyesha nia thabiti katika mwenendo husika, usemi na tabia

Yakobo 2.14-26 2 Kor. 4.13 2 Pet. 1.5-9 1 The. 1.3-10

6

Lakini, kwa Neno lako nitashusha nyavu. ~ Luka 5.5

Nia thabiti- Kujitoa kibinafsi ili kufikiri, kuongea na kutenda kulingana na taarifa husika

Ebr. 2.3-4 Ebr. 11.1, 6 Ebr. 3.15-19 Ebr. 4.2-6

5

Unaamini hili? ~ Yohana 11.26

Utambuzi - Kufahamu maana na matumizi ya taarifa

Yohana 16.13 Efe. 1.15-18 Kol. 1.9-10 Isa. 6.10; 29.10 2 Tim. 3.16-17 1 Kor. 2.9-16 1 Yohana 2.20-27 Yohana 14.26

4

Je unaelewa unachokisoma? ~ Mdo 8.30

Maarifa - Uwezo wa kukariri na kuikumbuka ili kuifanyia kazi taarifa

3

Nini Maandiko yanasema? ~ Rum. 4.3

Shauku - Kuitikia kwenye mawazo fulani au taarifa kwa udadisi na uwazi

Zab. 42.1-2 Mdo 9.4-5

2

Tutakusikia tena kuhusiana na jambo hili. ~ Mdo 17.32

Yohana 12.21 1 Sam. 3.4-10

Ufahamu - Kuwa na uzoefu kwenye mawazo mbalimbali na taarifa

Marko 7.6-8 Mdo 19.1-7 Yohana 5.39-40 Mt. 7.21-23 Efe. 4.17-19 Zab. 2.1-3 Rum. 1.21; 2.19 1 Yohana 2.11

1

Wakati ule, Mfalme Herode alisikia habari za Yesu. ~ Mt. 14.1

Upuuziaji - Kutokuwa karibu na taarifa kutokana na ugeni wa jambo, kutojali au ugumu

0

Nani ni Bwana ambaye natakiwa kutega sikio na kuisikiliza sauti yake? ~ Kut. 5.2

Made with FlippingBook Digital Publishing Software