Theolojia Katika Picha

/ 2 4 5

R e p r e s e n t a n d o l a t e o l o g í a

Mambo ya Jumla Kuhusu Agano Jipya

Chati Linganishi ya Injili Nne Robert H. Gundry. A Survery of the New Testament. Grand Rapids: Zondervan, 1981.

Makisio ya Tarehe ya Kuandikwa

Hadhira Iliyokusudiwa Kwanza

Makisio ya Mahali Kilipoandikwa

Dhamira na Lengo

Marko

Miaka ya 50

Roma

Wamataifa huko Roma Kazi ya Yesu ya ukombozi

Yesu Masihi wa Kiyahudi, na wanafunzi kama watu wapya wa Mungu

Wayahudi huko Palestina

Mathayo

Miaka ya 50 au 60 Antiokia huko Syria

Wamataifa wenye nia ya kumjua Mungu

Uhakika wa kihistoria wa simulizi ya Injili

Luka

Miaka ya 60

Roma

Watu kwa Ujumla katika Asia Ndogo

Kumwamini Yesu kama Masihi ili kupata uzima wa milele

Yohana

Miaka ya 80 au 90

Efeso

Apokrifa ya Agano la Kale Walter A. Elwell na Robert W. Yarbrough. Encountering the New Testament. Grand Rapids: Baker Books, 1998.

Waumini wa Kanisa Katoliki la Roma na baadhi ya makanisa ya Kiothodoksi ya Mashariki wanatambua vitabu vilivyoorodheshwa hapa chini kama Maandiko. Waprotestanti wanakubali thamani ya kifasihi na umuhimu wa kihistoria wa vitavu hivi lakini hawavichukulii kama vyenye mamlaka ya kiroho.

Yudithi

Sala ya Manase

Nyongeza kwa Esta Baruku

Barua ya Yeremia

Zaburi 151

Bel na Joka

1 Makabayo

Wimbo wa Wayahudi Watatu

Ecclesiasticus (Hekima ya Yesu Mwana wa Sirach)

2 Makabayo

Susana

3 Makabayo

Tobiti

1 Esdra

4 Makabayo

Hekima ya Sulemani

2 Esdra

Sala ya Azaria

Mambo ya Jumla kuhusu Agano Jipya

Made with FlippingBook Digital Publishing Software