Theolojia Katika Picha

/ 2 5 1

R e p r e s e n t a n d o l a t e o l o g í a

Maono na Mbinu za Kitheolojia (muendelezo)

B. Dhana ya Uamuzi wa Kitheolojia (Theological determinism) – muundo wa matukio yote umedhamiriwa kulingana na “shauri na uwezo wa Mungu kuyajua tangu awali” (Mdo 2:23).

C. Vipi kuhusu maswali ya uwepo wa uovu (theodicy) ? (Uovu kuwapata watu wema au wasio na hatia).

D. Uhuru wenye mipaka au kutokuwa na uhuru kabisa: vipi kuhusu uhusiano kati ya ulimwengu unaoonekana, matukio sababishi, na ukuu wa Mungu?

Made with FlippingBook Digital Publishing Software