Theolojia Katika Picha
3 2 8 /
R e p r e s e n t a n d o l a t e o l o g í a
Muhtasari wa Vielelezo vya Mchakato wa Kupanda hadi Kuzaa Kanisa Mch. Dkt. Don L. Davis
Awamu za Upandaji Kanisa Zikilinganishwa na Uzazi wa Mtoto
Mfumo wa World Impact
Mkazo Wakati wa Awamu Mahususi ya Uzazi
Kupata ahadi za maazimio ya kuzaa na kulea kutoka kwa wazazi wenye sifa na vigezo
Kuazimia Kulea
Timu kuu, watu wa kujitolea wamekusanywa/kuandaliwa, kanisa mama limeshirikishwa, makundi na jamii lengwa wamebainishwa, wamefanyiwa utafiti na mawasiliano nao yamefanyika. Ufikiaji endelevu, ushirika katika vikundi vidogo, kuratibu ufikiaji wa ndani ya familia/ndugu/jamaa na watu wa karibu Tangazo la kusanyiko na ibada ya hadhara, kusherehekea vikundi vilivyokusanyika Kujenga misingi, kuanzisha huduma muhimu, kuweka mifumo, kufikia uhuru wa uongozi “Utu uzima” wa kusanyiko, kanisa jipya kama kituo cha ufalme: Nasaba ya kiroho inayopanda makanisa mapya.
Fanya maandalizi
Kutunga mimba ya maono
Kuanza Kazi
Matunzo ya Kabla ya Uzazi
Kusanyika
Kuzaliwa
Kulea
Ukuaji kuelekea Ukomavu
Kipindi cha Mpito
Kuzaa zaidi (maongezeko)
Made with FlippingBook Digital Publishing Software