https://user-fNLORqa.cld.bz/Misingi-ya-Utume-wa-Kikristo-Mwongozo-wa-Mkufunzi

/ 1 9 1

MISINGI YA UTUME WA KIKRISTO

B. Kutoka kama tukio muhimu: kwa msingi wa ukombozi wa Mungu na ukombozi wao walipokuwa wageni na watumwa, watu wa Israeli wanapaswa kuwaonyesha huruma wale walio ndani ya jamii hiyo ya agano.

1. Kut. 22:21

2. Kut. 23:9

3. Kumb. 10:18-19

4. Kumb. 24:17-18

C. Kuundwa kwa jamii ya ufalme wa Mungu.

1. Kielelezo cha ya utakatifu wa Mungu, Kut. 19.

4

2. Mfano wa haki na rehema, Kut. 19:5-6.

3. Nuru kwa mataifa, Kumb. 26:18-19.

III. Sababu za umaskini katika Maandiko

A. Majanga na maafa ya asili.

1. Mahitaji ya maisha: “kufanyika maskini.”

Made with FlippingBook Annual report maker