Kristo: Mada Kuu Ya Biblia
KRISTO: MADA KUU YA BIBLIA Toleo la Pili La Norman L. Geisler Kimetolewa na Bastion Books | S.L.P 1033 | Matthews, NC 28106 USA | http://BastionBooks.com Hakimiliki © 2012 Norman L. Geisler. Haki zote zimehifadhiwa. Hairuhusiwi kunakili, kurudufu au kusambaza sehemu yoyote ya kitabu hiki cha kielektroniki kwa namna yoyote na kwa njia yoyote ile, ya kielektroniki au kwa kutumia nakala mango, ikijumuisha kupiga picha, kurekodi kwa njia ya kidijitali au ya analogia, au kwa mfumo wowote wa kuhifadhi na kupata tena taarifa, bila idhini ya maandishi kutoka kwa Norman. L. Geisler au Bastion Books. Hata hivyo, haki zifuatazo zimetolewa kwa mmiliki halali wa kitabu hiki cha kielektroniki pekee: (1) Unaweza kuhifadhi nakala ya faili hii ya kielektroniki katika eneo salama na ambalo halitumiwi na watu wengine kama hifadhi rudufu iwapo nakala yako itapotea kwa sababu ya hitilafu ya kifaa chako au wizi. (2) Unaweza kutunza nakala ya faili hii ya kielektroniki kwenye vifaa viwili vya kielektroniki unavyomiliki. (3) Mnunuzi wa kitabu hiki cha kielektroniki anaweza kuchapisha nakala mango moja na kurudishia nakala hiyo iwapo ile aliyokuwa nayo itatupwa kwa sababu ya uchakavu, au itapotea au kuibiwa. (4) Ni halali na itahesabika kuwa “matumizi sahihi” ikiwa mtu atanukuu maneno yasiyozidi 100 na kutambua chanzo kwa uwazi na kwa namna inayofaa. (5) Wachungaji na walimu wanaweza kununua nakala moja ya kitabu cha kielektroniki na kuwagawia wanafunzi na washirika wao katika mfumo wa kielektroniki pale ambapo kitabu hiki cha kielektroniki kinatumika kama kitabu cha kiada cha kujifunzia na endapo hakuna mapato ya kifedha yanayochukuliwa. Usambazaji wa kitabu hiki cha kielektroniki nje ya mipaka iliyoainishwa hapa juu unaweza kusababisha hatua ya kisheria. Maombi mengine kuhusu matumizi ya nyenzo hii yanaweza kutumwa kwa njia ya posta au kwa barua pepe kupitia anuani ifuatayo: Permissions@BastionBooks.com.
Made with FlippingBook Digital Publishing Software