Kristo: Mada Kuu Ya Biblia
ISBN: 978-1-62932-199-8 Cover Art: Njiani kuelekea Emmau, “. . . Yesu mwenyewe alikaribia, akaandamana nao. . . Akaanza kutoka Musa na manabii wote, akawaeleza katika maandiko yote mambo yaliyomhusu yeye mwenyewe. …. Wakaambiana, Je! Mioyo yetu haikuwaka ndani yetu hapo alipokuwa akisema nasi njiani, na kutufunulia maandiko?” (Luka 24:27, 32). Toleo la kwanza la kitabu hiki lilitolewa na Moody Publishers mwaka 1968, likiwa na kichwa Kristo: Mada Kuu ya Biblia . Kilitolewa tena kikiwa na kichwa To Understand the Bible Look for Jesus (Baker Books: 1979; Wipf and Stock Publishers: 2002). Vitabu katika nakala mango vya toleo la 2002 vinaweza kununuliwa kupitia tovuti ya WipfandStock.com. Toleo hili la Kitabu cha kielektroniki cha mwaka 2012 linajumuisha kiasi kidogo cha maudhui yaliyosasishwa na Dk. Norman Geisler. Shukrani Na kama kawaida, moyo wa mke wangu mzuri Barbara wa kujitoa kwa dhati umeboresha maisha yangu, kitabu hiki na vitabu vyangu vyote. Ninamshukuru Mungu kwa uaminifu wake kwa zaidi ya nusu karne. Pia ningependa kumshukuru Christopher Haun kwa msaada wake muhimu katika uhariri wa muswada wa kitabu hiki.
3
Made with FlippingBook Digital Publishing Software