Misingi ya Utume wa Kikristo, Mwongozo wa Mkufunzi

/ 2 0 3

MISINGI YA UTUME WA KIKRISTO

2. Ni upako wa haki, Zab. 45:7, taz. Ebr. 1:9.

3. Mfalme ajaye angekuwa mpenda haki na usawa, Zab. 99:4.

4. Yesu alihubiri Habari Njema ya msamaha na amani kwa maskini, Luka 6:20.

5. Unabii wa Kimasihi ulizungumza juu ya Yule ambaye angewafanya maskini wa wanadamu washangilie katika Mungu, Isa. 29:19-20.

6. Huduma kwa maskini ni uthibitisho usiopingika wa umasihi wa Yesu .

a. Msingi wa mwelekeo wa huduma yake: Maandiko mahususi aliyo chagua (Mtumishi wa Kimasihi).

4

b. Msingi wa wito wake: upako wa Roho Mtakatifu.

c. Walengwa wa huduma yake: maskini, mateka, vipofu, walioonewa.

d. Msingi wa kusudi lake: kutangaza mwaka wa neema ya Bwana.

B. Yesu anathibitisha umasihi wake kwa Yohana Mbatizaji kupitia matendo ya haki na kuwahubiria maskini, Luka 7:18-23.

1. Mashaka ya Yohana Mbatizaji: wewe ndiwe yule ajaye, au tumtazamie mwingine? , mst. 19.

Made with FlippingBook - Online catalogs