Misingi ya Utume wa Kikristo, Mwongozo wa Mkufunzi

2 1 0 /

MISINGI YA UTUME WA KIKRISTO

b. Matajiri watapelekwa mikono mitupu katika Ufalme ujao, Luka 1:51-53.

2. Dini iliyo safi ilifafanuliwa katika jamii kwa msingi wa namna maskini walivyotendewa.

a. Yakobo 1:27

b. Ayubu 29:12-13

3. Jamii hii mpya iliundwa kwa ajili ya matendo mema, na inadumisha na kudumu katika kuwatendea mema wanyonge na maskini.

a. Gal. 5:6

4

b. Gal. 6:9-10

c. 1 Yoh. 3:17-19

4. Msaada wa vitendo kukidhi mahitaji ya walio ndani na nje ya Kanisa ni kigezo cha ushirika wa kweli katika jamii ya agano ya Mungu.

a. 1 Yoh. 4:7-8

b. Gal. 5:22

c. Yoh. 13:34-35

Made with FlippingBook - Online catalogs