Mtaala wa Cornerstone, Kitabu cha Mwanafunzi

SOMO LA 4 | USHAHIDI WA AGANO J IPYA KUHUSU KRISTO NA UFALME WAKE: KUPINGWA KWA MASIHI / 163

3. Katika vyanzo vingi vya Kiyahudi, maneo “ Ufalme wa Mungu ” na “ Ufalme wa mbinguni ” yote yanarejelea uthibitisho wa Mungu wa utawala wake juu ya uumbaji wake (Dan 7:27).

B. Marejeleo ya Agano la Kale kuhusu Ufalme wa Mungu (mifano wakilishi)

1. Kut. 15:18

2. 1 Sam. 2:12

3. 1 Nya. 29:11

4. Zab. 22:29

5. Zab. 93:1; 95:10; 97:1; 99:1

6. Zab. 145 :11-13

4

7. Isa. 9:6-7

M A S O M O Y A B I B L I A

8. Dan. 4:34

9. Dan. 7:14

10. Dan. 7:27

11. Mengi ya maandiko ya Kiyahudi ya wakati wa Yesu yalikuwa na marejeleo mengi kuhusu wazo la mamlaka ya ufalme wa Mungu (k.m., Tobiti 13:1; Hekima ya Sulemani 6:4; 1 Henoko 41:1, nk.).

Made with FlippingBook Digital Proposal Maker