Mtaala wa Cornerstone, Kitabu cha Mwanafunzi

230 / MTAALA WA CORNERS TONE K I TABU CHA MWANAFUNZ I

(2) Aliletwa hekaluni kwa ajili ya wakati wa utakaso wa mama yake (Luka 2:22-39). (3) Alitimiza andiko na roho ya Sheria katika nafsi yake mwenyewe (Mt. 5:17-18).

b. Alisalimisha matumizi huru ya sifa zake za kiungu. (1) Alimtegemea Baba yake kwa namna zote (Yoh. 5:19-20). (2) Alitii amri ya Baba kwa dhati na kwa moyo wote katika kila jambo.

(a) Yohana 5:30 (b) Yohana 8:28 (c) Yohana 12:49 (d) Yohana 14:10

B. Kunyenyekezwa katika kifo chake: umuhimu wa kifo cha Yesu

3

1. Ni muhimu kama fundisho kuu katika ushuhuda wa kitume na maisha ya kiroho .

Kristo anaitwa Kondoo na

T H E O L O J I A N A M A A D I L I

Mwana-Kondoo ambaye alipaswa kuchinjwa.... Kristo pia anaitwa Jiwe.... Yeye Mwenyewe ni Hakimu na Mfalme. ~ Cyprian (c. 250, W), 5.521-5.527. Ibid . uk. 370.

a. 1 Wakorintho 15:3-8

b. Wagalatia 6:14

c. Warumi 1:16

d. 1 Wakorintho 1:22-24

e. 1 Wakorintho 2:2

f. Wagalatia 2:20

Made with FlippingBook Digital Proposal Maker