Mtaala wa Cornerstone, Kitabu cha Mwanafunzi

304 / MTAALA WA CORNERS TONE K I TABU CHA MWANAFUNZ I

C. Mchungaji ni kiongozi .

1. Yesu, kama Mchungaji Mkuu na Mwema, hutuongoza katika njia na malisho yenye kutufaa.

a. Zab. 23:1-2

b. Yn. 10:4

c. Yn. 10:16

d. Yn. 10:26-27

2

e. Yn. 10:3-5

H U D U M A Y A K I K R I S T O

2. Mchungaji mcha Mungu huliongoza kundi katika mapenzi ya Mungu kupitia Neno la Mungu: hatalipotosha kundi, Yer. 50:6.

3. Kadiri mchungaji mcha Mungu anavyomfuata Kristo kama mfuasi, anawapa changamoto washiriki wa kundi kufuata mwongozo wake.

a. 1 Kor. 11:1

b. 1 Kor. 4:16

c. 1 Kor. 10:33

d. Flp. 3:17

e. 1 The. 1:6

Made with FlippingBook Digital Proposal Maker