Mtaala wa Cornerstone, Kitabu cha Mwanafunzi

SOMO LA 2 | MI S I NG I YA UONGOZ I WA K I KR I S TO : K I ONGOZ I WA K I KR I S TO KAMA MCHUNGA J I / 305

f. 2 The. 3:9

4. Mchungaji ni ujumbe , na vile vile ndiye atoaye ujumbe, Tit. 2:7.

5. Ujana wa mchungaji sio jambo muhimu kama kuwa kielelezo cha kimungu 1 Tim. 4:12.

II. KuwandaaWachungaji kwa ajili ya Makusanyiko ya Mjini: Masuala Muhimu

Mashemasi wanapaswa kukumbuka kwamba Bwana alichagua mitume – yaani, maaskofu na waangalizi. Kwa upande mwingine, mitume walichagua mashemasi kwa ajili yao wenyewe. ~ Cyprian (c. 250, W), 5.366. Ibid . uk. 156.

A. Kuenea kwa mifumo ya usimamizi miongoni mwa wachungaji wa kiinjili.

2

1. Mchungaji wa kufanya kila kitu mwenyewe : mchungaji kama mbeba shughuli zote (Mkristo mwenye karama za hali ya juu).

H U D U M A Y A K I K R I S T O

2. Mchungaji msimamizi : mchungaji kama Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la Kikristo.

3. Mchungaji anayejitenga : mchungaji ambaye huficha kazi mbalimbali anazofanya, na kwa sababu hiyo hujitenga na kundi.

B. Hitaji la wachungaji imara wa mijini

1. Mazingira hatarishi, yasiyo salama : msingi wa jukumu la uchungaji katika huduma ya kichungaji.

2. Wanyama wakali : wale wanaowawinda Wakristo wa mijini.

3. Ugonjwa wa kutangatanga : hali ya kondoo kuelekea kwenye mambo ya kupotosha na kuliacha kundi.

Made with FlippingBook Digital Proposal Maker