Mtaala wa Cornerstone, Kitabu cha Mwanafunzi

308 / MTAALA WA CORNERS TONE K I TABU CHA MWANAFUNZ I

c. Kuzingatia mambo ya lazima: mtu kuutoa uhai kwa ajili ya kondoo Yn. 10:11

6. Kutanguliza wito na karama kabla ya sifa na elimu.

a. Mungu amewainua wachungaji kwa ajili ya Mwili wa Kristo, Efe. 4:11-12.

b. Wito mmoja wa kweli wa Mungu una thamani zaidi ya teuzi 10,000 za wanadamu, Rum. 11:29.

III. Kanuni na Utekelezaji wa Huduma ya Kichungaji

Usimpokee mgeni yeyote – awe askofu, mkuu wa kanisa, au shemasi – bila barua za uthibitisho. Na zikitolewa, zichunguzwe. ~ Katiba za Kitume (zilizokusanywa mwaka 390, E), 7.502. Ibid. uk. 156.

A. Tambua umuhimu wa ofisi ya uchungaji.

2

H U D U M A Y A K I K R I S T O

1. Mchungaji asipokuwepo, kondoo watatawanyika na kuliwa Yn. 10:10-13.

2. Mchungaji asipokuwepo, wanyama wakali watakula kondoo, 1 Pet. 5:8-9.

3. Bila mchungaji, hakuna kundi kabisa!

B. Waingize watenda kazi katika huduma ya kichungaji.

1. Tafuta upendo wao kwa Yesu Kristo Yn. 21:16.

2. Tafuta shauku yao kwa ajili kukua kwa kanisa lenye afya, Kol. 1:25-28.

3. Tafuta shauku yao ya kuwakamilisha wengine kwa ajili ya huduma, Efe. 4:11-12.

Made with FlippingBook Digital Proposal Maker