Mtaala wa Cornerstone, Kitabu cha Mwanafunzi
SOMO LA 1 | TAFAKAR I FUP I YA K I THEOLOJ I A / 35
b. Nyakati zote, baadhi ya matunda na mboga zilipaswa kuachwa mashambani ili maskini wakusanye (Law. 19:9-10).
c. Hakuna riba ambayo iliyoruhusiwa kutozwa kwenye mikopo kwa ajili ya wale walioishi katika umaskini (Kut. 22:25).
d. Kila baada ya miaka mitatu zaka ilitolewa kwa yatima na wajane (Kum. 14:28-29).
e. Kila baada ya miaka saba mashamba yalipumzishwa ili yasitumike kwa faida ya wamiliki bali kwa ajili ya wahitaji wapate kuvuna mazao ambayo yaliota yenyewe (Kut. 23:10-11; Law. 25:3-6).
1
f. Watumwa walipaswa kuachiliwa baada ya miaka sita ya utumishi (Kut. 21:2).
K A Z I Y A K I U K O M B O Z I D H I D I Y A U M A S K I N I
g. Kila mwaka wa hamsini (Mwaka wa Yubile) ardhi zilipaswa kurejeshwa kwa wamiliki wake wa awali (Law. 25:8-17).
B. Yesu aliwapendelea maskini.
Ukurasa wa 27 5
1. Tunaona namna ambavyo Kristo alionyesha kuwajali kipekee maskini katika huduma yake duniani (Luka 4:18-20).
a. Yesu alifanya huduma yake kama mtu wa maisha ya kawaida (Mk 2:15-17)
b. Mji wa Nazareti alimozaliwa haukuwa na hadhi katika jamii (Yohana 1:44-45).
c. Kuzaliwa kwake katika zizi la ng’ombe ilikuwa tabia ya watu walio katika umaskini (Luka 2:7).
Made with FlippingBook Digital Proposal Maker