Mtaala wa Cornerstone, Kitabu cha Mwanafunzi

410 / MTAALA WA CORNERS TONE K I TABU CHA MWANAFUNZ I

b. Efe. 1:19-23.

II. Wokovu kama Ukombozi Kutoka katika Dhambi na Madhara yake

A. Ukombozi dhidi ya adhabu ya dhambi : dhabihu mbadala ya Kristo kwa ajili ya dhambi.

1. 1 Pet. 3:18

2. Efe. 2:16-18

3. Ebr. 9:26-28

2

B. Ukombozi kutoka kwenye utumwa wa dhambi : uhuru dhidi ya Shetani na uonevu wa kishetani.

U T U M E K A T I K A M I J I

1. 2 Kor. 2:14

2. 1 Yoh. 4:4

3. 1 Yoh. 5:19

4. 1 Kor. 2:12

5. Efe. 6:12

C. Ukombozi kutoka kwenye nguvu za dhambi : kumiminwa kwa Roho Mtakatifu katika wakati huu.

1. Efe. 1:13-14

Made with FlippingBook Digital Proposal Maker