Mtaala wa Cornerstone, Kitabu cha Mwanafunzi
SOMO LA 3 | MKAZO KUHUSU UZAZ I : UKUA J I WA KAN I SA / 427
II. Fuasa: WakusanyeWanafunzi Wapya kwenye Kusanyiko na Wakuze hataWakomae. Efe. 4:11-16 – Naye alitoa wengine kuwa mitume, na wengine kuwa manabii; na wengine kuwa wainjilisti na wengine kuwa wachungaji na walimu; 12 kwa kusudi la kuwakamilisha watakatifu, hata kazi ya huduma itendeke, hata mwili wa Kristo ujengwe; 13 hata na sisi sote tutakapoufikia umoja wa imani na kumfahamu sana Mwana wa Mungu, hata kuwa mtu mkamilifu, hata kufika kwenye cheo cha kimo cha utimilifu wa Kristo; 14 ili tusiwe tena watoto wachanga, tukitupwa huku na huku, na kuchukuliwa na kila upepo wa elimu, kwa hila ya watu, kwa ujanja, tukizifuata njia za udanganyifu. 15 Lakini tuishike kweli katika upendo na kukua hata tumfikie yeye katika yote, yeye aliye kichwa, Kristo. 16 Katika yeye mwili wote ukiungamanishwa na kushikanishwa kwa msaada wa kila kiungo, kwa kadiri ya utendaji wa kila sehemu moja moja, huukuza mwili upate kujijenga wenyewe katika upendo.
A. Umuhimu wa kufuasa katika kuzalisha makanisa ya mijini
1. Lengo ni uanafunzi , si uongofu, Mt. 28:18-20.
3
2. Waamini hukua tu kadiri karama zao zinavyofanya kazi pamoja chini ya uongozi wa Roho Mtakatifu.
U T U M E K A T I K A M I J I
a. 1 Kor. 12:3-11
b. 1 Pet. 4:10-11
c. Rum. 12:3-8
d. Efe. 4:9-16
3. Harakati za Yesu ni safari ya kujitoa katika ushirka , si dini binafsi.
Made with FlippingBook Digital Proposal Maker