Mungu Mwana – Mwongozo wa Mkufunzi: Capstone Module 10 Swahili Mentor Guide

/ 1 3 7

M U N G U M W A N A

B. Lugha ya Kanuni ya Imani na ushahidi wake katika Biblia

Siku ya tatu, alifufuka katika wafu. Aliwatokea

wanafunzi wake kama ambavyo ameendelea kuwatokea. . . . Hata hivyo, alikaa siku arobaini, ili wafundishwe naye kanuni za uzima na

1. “Alipaa mbinguni”: kuinuliwa kwa Kristo aliyetukuzwa.

a. Simulizi pana zaidi: Luka 24:50-51 na Matendo 1:6-11.

wapate kujifunza yale waliyopaswa kufundisha. Kisha, katika wingu lililotanda

b. Waefeso 1:20

c. Waefeso 4:8-10

kumzunguka, aliinuliwa juu mbinguni – ili kama mshindi, apate kumleta mwanadamu kwa Baba. ~ Cyprian (c. 250, W), 5.468. Ibid. uk. 559.

d. Webrania 1:3

e. Webrania 4:14

4

f. Webrania 9:24

2. “Ameketi mkono wa kuume wa Baba”: cheo cha juu cha Masihi Yesu

a. Mathayo 26:64

b. Matendo 2:33-36

c. Matendo 5:31

d. Waefeso 1:20-22

Made with FlippingBook - Share PDF online